sw_jer_text_reg/50/16.txt

1 line
197 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 16 Waaribuni wote mkulima apandaye mbegu naye atumiaye mundu wakati wa mavuno katika Babeli. Haya kila mtu na arudi kwa watu wake kutoka upanga wa mtesaji; na wakimbilie katika nchi yao wenyewe.