diff --git a/02/12.txt b/02/12.txt index 2c685eb..2320fb0 100644 --- a/02/12.txt +++ b/02/12.txt @@ -1 +1 @@ -\v 12 'Ole wake yule ajengaye mji kwa damu, na anayeimarisha mji kwa uovu. \v 13 Hii haitoki kwa Bwana wa majeshi kwamba watu wafanye kazi ajili ya moto ,na mataifa yanajichosha yenyewe bure? \v 14 Kwa kuwa nchi itajazwa na maarifa ya utukufu wa Bwana kama maji yaifunikavyo bahari. \ No newline at end of file +\v 12 'Ole wake yule ajengaye mji kwa damu, na anayeimarisha mji kwa uovu. \v 13 Haikutoka kwa Bwana wa majeshi kwamba watu wafanye kazi kwa ajili ya moto ,na mataifa yanajichosha yenyewe bure? \v 14 Kwa kuwa nchi itajazwa na maarifa ya utukufu wa Bwana kama maji yaifunikavyo bahari. \ No newline at end of file