sw_gal_text_ulb/06/06.txt

1 line
311 B
Plaintext

\v 6 Mtu aliyefundishwa neno lazima amshirikishe mazuri yote mwalimu wake. \v 7 Msidanganyike. Mungu hadhihakiwi. Kila apandacho mtu, ndicho atakachovuna pia. \v 8 Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho.