sw_gal_text_ulb/05/19.txt

1 line
343 B
Plaintext

\v 19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi, \v 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko. \v 21 wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu.