diff --git a/05/11.txt b/05/11.txt index 9b33459..b211355 100644 --- a/05/11.txt +++ b/05/11.txt @@ -1 +1 @@ -\v 11 Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwanini bado ninateswa? Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa. \v 12 Ni matakwa yangu kuwa wale wanaowaongoza vibaya wat wenyewe. \ No newline at end of file +\v 11 Ndugu, kama naendelea kutangaza tohara, kwanini bado ninateswa? Kwa suala hilo kile ambacho ni kizuizi cha msalaba kitaweza kuharibiwa. \v 12 Ni matakwa yangu kuwa wale wanaowaongoza vibaya watajiharibu wenyewe. \ No newline at end of file diff --git a/05/19.txt b/05/19.txt index 8f6e598..339c489 100644 --- a/05/19.txt +++ b/05/19.txt @@ -1 +1 @@ -\v 19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi, \v 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko wa madhehebu, \v 21 wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu. \ No newline at end of file +\v 19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana. Nayo ni uasherati, uchafu, ufisadi, \v 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, husuda, kuwaka hasira, ushindani, faraka, mgawanyiko. \v 21 wivu, ulevi, ulafi na mambo mengine kama haya. Nawaonya ninyi, kama nilivyowaonya mwanzoni, kwamba wale wanaofanya mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu. \ No newline at end of file diff --git a/06/title.txt b/06/title.txt index 6e858e5..d7551ac 100644 --- a/06/title.txt +++ b/06/title.txt @@ -1 +1 @@ -Mlango 6 \ No newline at end of file +Sura \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 9f539ba..73a1c02 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -88,6 +88,12 @@ "05-01", "05-03", "05-05", - "05-09" + "05-09", + "05-11", + "05-13", + "05-16", + "05-19", + "05-22", + "05-25" ] } \ No newline at end of file