sw_exo_text_reg/16/22.txt

1 line
373 B
Plaintext

\v 22 siku ya sita walikusanya mikate mara mbili zaidi, lita mbili kwa kila mtu. Viongozi wote wa jamii walikuja na kumwambia hili kwa Musa. \v 23 Aliwaambia, "Hili ndilo Yahweh alililolisema: 'Kesho ni mapumziko ya kujiliwaza, sabato takatifu kwa utukufu wa Yahweh. Oka kile unataka kuoka, na chemsha kile unataka kuchemsha. Vyote vitakavyo baki, jihifadhie hadi asubui."'