Tue Jul 05 2022 11:22:27 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2022-07-05 11:22:28 +03:00
parent 1e3718a607
commit d9ebbfe8bf
1 changed files with 3 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1,3 @@
\v 6 Siku ile ile, Farao alitoa amri kwa wasimamizi na wanyapara wa wale watu. Akasema, \v 7 "Tofauti na ilivyokuwa mwanzo, "Tofauti ni ilivyokuwa awali, msiwapatie tena watu majani ya kutengenezea tofali. Waacheni wao waende kujitafutia majani wenyewe. \v 8 Ingawa wanapaswa kuleta hesabu sawa ya matofali watakayotengeneza kama ilivyokuwa awali. Msipokee pungufu, kwasababu wao ni wavivu. Ndiyo maana wanapiga kelele na kusema, 'turuhusu tuende tukamtolee sadaka Mungu wetu.' \v 9 Waongezeeni kazi wanaume ili wasipate tena muda wa kusikiliza maneno ya upotoshaji."
\v 6 Siku ile ile, Farao alitoa amri kwa wasimamizi na wanyapara wa wale watu. Akasema, \v 7 "Tofauti na ilivyokuwa mwanzo, "Tofauti ni ilivyokuwa awali, msiwapatie tena watu majani ya kutengenezea tofali. Waacheni wao waende kujitafutia majani wenyewe. \v 8 Ingawa wanapaswa kuleta hesabu sawa ya matofali watakayotengeneza kama ilivyokuwa awali. Msipokee pungufu, kwasababu wao ni wavivu. Ndiyo maana wanapiga kelele na kusema, 'turuhusu tuende tukamtolee sadaka Mungu wetu.' \v 9 Waongezeeni kazi wanaume ili wasipate tena muda wa kusikiliza maneno ya upotosha''.
''''''''