From c0a85fc2eebfa9b78563fa8febba0145b2f48e91 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: tsDesktop Date: Tue, 5 Jul 2022 18:26:12 +0300 Subject: [PATCH] Tue Jul 05 2022 18:26:12 GMT+0300 (East Africa Time) --- 14/06.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/14/06.txt b/14/06.txt index 3e16497..c3f5ab1 100644 --- a/14/06.txt +++ b/14/06.txt @@ -1 +1 @@ -\v 6 Kisha Farao akachukua magari yake ya farasi na jeshi lake. \v 7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari. \v 8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe. \v 9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni. \ No newline at end of file +\v 6 Kisha Farao akachukua magari yake ya farasi na jeshi lake. \v 7 Alichukua magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari. \v 8 Yahweh akaufanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe. \v 9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni. \ No newline at end of file