From bf61311bcd5a3ab66116c5c53cecbc24b64d66a2 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: tsDesktop Date: Fri, 8 Jul 2022 17:06:43 +0300 Subject: [PATCH] Fri Jul 08 2022 17:06:42 GMT+0300 (East Africa Time) --- 31/12.txt | 2 +- 1 file changed, 1 insertion(+), 1 deletion(-) diff --git a/31/12.txt b/31/12.txt index 25df511..07a1112 100644 --- a/31/12.txt +++ b/31/12.txt @@ -1 +1 @@ -\v 12 akasema na Musa, \v 13 "Waambie wana wa Israeli, 'Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi. \v 14 Basi mtaishika hiyo Sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake. \v 15 Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika yake atauawa. \ No newline at end of file +\v 12 akasema na Musa, \v 13 "Waambie wana wa Israeli, 'Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi. \v 14 Basi mtaishika hiyo Sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika, atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake. \v 15 Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika, atauawa. \ No newline at end of file