Wed Jul 06 2022 09:30:04 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
1b5fe11c33
commit
a095305e2e
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 23 Musa akamwambia Yahweh, "Watu hawawezi kuja juu ya mlima, kwa kuwa umetuamuru: 'weka mipaka kuzunguka mlima na uutenge kwa ajili ya Yahweh.'" \v 24 Yahweh akamwambia, Nenda, shuka chini ya mlima, na umelete Aruni na wewe, lakini usiache makuhani na watu kupita vizuizi na kuja kwangu, au nitawashambulia." \v 25 Hivyo Musa akaenda chini kwa watu na kusema nao.
|
||||
\v 23 Musa akamwambia Yahweh, "Watu hawawezi kuja juu ya mlima, kwa kuwa umetuamuru: 'weka mipaka kuzunguka mlima na uutenge kwa ajili ya Yahweh.'" \v 24 Yahweh akamwambia, Nenda, shuka chini ya mlima, na umulete Aruni na wewe, lakini usiache makuhani na watu kupita vizuizi na kuja kwangu, au nitawashambulia." \v 25 Hivyo Musa akaenda chini kwa watu na kusema nao.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 1 Mungu alisema maneno yote haya: \v 2 Ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa katika ardhi Misri, nje ya nyumba ya utumwa. \v 3 Msiwe na miungu mingine ila mimi tu.
|
||||
\c 20 \v 1 Mungu alisema maneno yote haya: \v 2 Ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa katika ardhi ya Misri, nje ya nyumba ya utumwa. \v 3 Msiwe na miungu mingine ila mimi tu.
|
Loading…
Reference in New Issue