Wed Jul 06 2022 07:42:00 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
3e91908998
commit
783254c12c
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 33 Musa akamwambia Aruni, "Chukua jagi na uweke lita mbili za manna ndani yake. Hifadhi kwa Yahweh i dumu vizazi vyote vya watu." \v 34 Kama Yahweh alivyo muamuru Musa, Aruni akahifadhi pembeni mwa mawe yaliyo kuwa na amri za agano. \v 35 Watu wa Israeli walikula manna miaka arobaini mpaka walipo kuja nchi yenye watu. Walikula mpaka walipo fika kwenye mipaka ya nchi ya Kanani. \v 36 Lita mbili ni makumi ya efa.
|
||||
\v 33 Musa akamwambia Aruni, "Chukua jagi na uweke lita mbili za manna ndani yake. Hifadhi kwa Yahweh idumu vizazi vyote vya watu." \v 34 Kama Yahweh alivyo muamuru Musa, Aruni akahifadhi pembeni mwa mawe yaliyo kuwa na amri za agano. \v 35 Watu wa Israeli walikula manna miaka arobaini mpaka walipokuja nchi yenye watu. Walikula mpaka walipofika kwenye mipaka ya nchi ya Kanani. \v 36 Lita mbili ni makumi ya efa.
|
Loading…
Reference in New Issue