Tue Jul 05 2022 09:48:12 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
4f31aaca88
commit
01514bbabc
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 15 Farao aliposikia habari hizi, alijaribu kumuua Musa. Lakini Musa alikimbia na kwenda kuishi katika nchi ya Wamidiani. Kule alikaa chini kando ya mto. \v 16 Wakati huo kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba. Walikuja mtoni kuchota maji na kujaza vyombo vyao ili wawanyweshe mifuo ya baba yao. \v 17 Wachungaji walikuja na kutaka kuwafukuza, lakini Musa alienda kuwasaidia. Kisha akawanywesha mifugo wao.
|
||||
\v 15 Farao aliposikia habari hizi, alijaribu kumuua Musa. Lakini Musa alikimbia na kwenda kuishi katika nchi ya Wamidiani. Kule alikaa chini kando ya mto. \v 16 Wakati huo kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba. Walikuja mtoni kuchota maji na kujaza vyombo vyao ili wawanyweshe mifugo ya baba yao. \v 17 Wachungaji walikuja na kutaka kuwafukuza, lakini Musa alienda kuwasaidia. Kisha akawanywesha mifugo wao.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 18 Wale mabinti walipoenda kwa Reueli baba yao, aliwauliza, "Kwa nini mmerudi nyumbani mapema hivi leo?" \v 19 Wakamwambia, "Mmisri mmoja alituokoa dhidi ya wachungaji. Pia alichota maji na kuwanywesha mifugo wetu." \v 20 Kisha akawauliza binti zake, "Yu wapi sasa? Kwa nini mlimwacha? Mwiteni ili apate kula chakula pamoja nasi."
|
||||
\v 18 Wale mabinti walipoenda kwa Reueli baba yao, aliwauliza, "Kwa nini mmerudi nyumbani mapema hivi leo?" \v 19 Wakamwambia, "Mmisri mmoja alituokoa dhidi ya wachungaji. Pia alichota maji na kuwanywesha mifugo wetu." \v 20 Kisha akawauliza binti zake, "Yu wapi sasa? Kwa nini mlimwaacha? Mwiteni ili apate kula chakula pamoja nasi."
|
|
@ -53,6 +53,7 @@
|
|||
"02-07",
|
||||
"02-09",
|
||||
"02-11",
|
||||
"02-13"
|
||||
"02-13",
|
||||
"02-18"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue