sw_est_text_reg/08/03.txt

1 line
276 B
Plaintext

\v 3 Kisha Esta akaongea tena na mfalme. Akaanguka chini na kulia mbele za mfalme, akimsihi Mfalme abatilishe njama ya kuwaua Wayahudi wote, iliyokuwa imetangazwa na Hamani Muagagi \v 4 kisha mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, akainuka na kusimama mbele ya mfalme.