sw_est_text_reg/02/17.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 17 Mfalme alimpenda Esta zaidi kuliko wanawake wengine, na alipata kibali na wema mbele zake zaidi ,kuliko mabikira wengine.Hivyo mfalme akamvika taji ya kimalkia badala ya Vashiti. \v 18 mfalme akawafanyia karamu kubwa wasimamizi na wahudumu wake wote, karamu ya Esta na akawapa unafuu wa kodi katika majimbo. Pia akawapa zawadi kwa ukarimu.