sw_ecc_text_reg/10/08.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 8 Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuta, nyoka anaweza kumuuma. \v 9 Yeyote achongaye mawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.