sw_ecc_text_reg/06/03.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 3 Kama mtu akizaa watoto mia moja na kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi, lakini kama moyo wake hautosheki kwa mema na hazikwi kwa heshima, kisha ninasema kwamba, mtoto aliyezaliwa akiwa amekufa ni bora kuliko alivyo. \v 4 Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida na anapita katika njia mbaya, na jina lake halitambuliki.