sw_ecc_text_reg/03/08.txt

1 line
202 B
Plaintext

\v 8 Kuna wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani. \v 9 Ni faida gani mfanyakazi aipatayo katika kazi yake? \v 10 Nimeona kazi ambayo Mungu amewapa wanadamu kuitimiza.