sw_ecc_text_reg/03/01.txt

1 line
268 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Kwa kuwa kila kitu na wakati wake, na majira kwa kila kusudi chini ya mbingu. \v 2 Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna yaliyopandwa, \v 3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.