sw_deu_text_reg/11/04.txt

1 line
280 B
Plaintext

\v 4 Wala hawakuona kile alichofanya kwa jeshi la Misri, kwa farasi wao, au magari yao; namna alivyoyafanya maji ya bahari ya Reeds kuwaelemea kwa sababu ya kuwafuatilia, na namna Yahwe alivyowaangamiza mpaka leo, \v 5 au nini alifanya kwenu kwenye jangwa mpaka mlikuja eneo hili.