sw_deu_text_reg/05/16.txt

1 line
195 B
Plaintext

\v 16 Mheshimu baba yako na mama yako, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru kufanya, ili kwamba uweze kuishi muda mrefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako amekupa, ili kwamba kuwe viuzuri kwako.