sw_deu_text_reg/32/01.txt

1 line
266 B
Plaintext

\v 1 Tega sikio, enyi mbingu, na niruhusu kuzungumza. \v 2 Acha dunia isikie maneno ya kinywa changu. Acha mafundisho yangu yamwagike chini kama mvua, acha usemi wangu udondoke kama umande, kama mvua tulivu juu ya majani laini, na kama mvua za manyunyu juu ya mimea.