sw_deu_text_reg/05/32.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 32 Utashika, kwa hiyo, kile Yahwe Mungu wenu amewaamuru; hamtageukia mkono wa kulia au kushoto. \v 33 Mtatembea katika njia zote ambazo Yahwe Mungu wenu, amewaamuru ili kusudi muweze kuishi, na ili kwamba iwe vizuri kwenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo mtaimiliki.