sw_deu_text_reg/32/44.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 44 Musa alikuja na kunena maneno yote ya wimbo huu masikioni mwa watu, yeye na Yoshua mwana wa Nuni. \v 45 Kisha Musa alimaliza kunena maneno haya yote kwa Israeli yote.