sw_deu_text_reg/32/28.txt

1 line
176 B
Plaintext

\v 28 Kwa maana Israeli ni taifa linalopungukiwa na hekima, na hakuna ufahamu ndani mwao. \v 29 Ah laiti wangekuwa na hekima, wangeelewa hili, na kuzingatia ujio wa hatima yao!