sw_deu_text_reg/24/10.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 10 Utoapo mkopo wa aina yoyote kwa jirani yako, hautakiwi kwenda ndani ya nyumba yake kutafuta dhamana yake. \v 11 Utasimama nje, na mwanamume aliyekopa kwako ataleta dhamana yake nje kwako.