sw_deu_text_reg/24/07.txt

1 line
191 B
Plaintext

\v 7 Iwapo mwanaume kakutwa kamteka mmoja wa kaka zake miongoni mwa watu wa Israeli, na kumtendea kama mtumwa na kisha kumuuza, huyo mwizi lazima afe; na utakuwa umeondoa uovu miongoni mwenu.