sw_deu_text_reg/17/20.txt

1 line
265 B
Plaintext

\v 20 Anapaswa kufanya hivi ili kwamba moyo wake usiinuliwe zaidi ya ndugu zake, na ili kwamba asigeuke mbali na amri, kwa mkono wake wakulia, au kwa kushoto' kwa kusudi kwamba, aweze kuzidisha siku zake katika ufalme wake, yeye na watoto wake, miongoni mwa Israel.