sw_deu_text_reg/05/28.txt

1 line
383 B
Plaintext

\v 28 Yahweh alisikia maneno yenu pindi mlipozungumza nami. Alisema na mimi, "Nimekwisha sikia maneno ya watu hawa, kile wanasema kwako. Kile walichosema kilikuwa kizuri. \v 29 Oh, kulikuwa na moyo wa namba hiyo ndani yao, kwamba wataniheshimu na daima kushika amri zangu zote, ili iweze kuwa vizuri kwao na pamoja na watoto wao milele! \v 30 Nenda useme nao, "Rudini kwenye mahema."