sw_deu_text_reg/05/12.txt

1 line
505 B
Plaintext

\v 12 Zingatia siku ya Sabato kwa kuiweka takatifu, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru. \v 13 Kwa siku sita utafanya kazi na fanya kazi zako zote, \v 14 lakini siku ya saba ni Sabato kwa Yahwe Mungu wako. Kwa siku hiyo hautafanya kazi yoyote- si wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mjakazi wako wa kiume, wala maksai wako, wala punda wako, wala mifugo wako, wala mgeni yeyote aliye katika malango yako. Hii ni kwamba mjakazi wako wa kiume na mjakazi wako wa kike wapate kumpuzika pamoja na wewe.