sw_deu_text_reg/05/04.txt

1 line
339 B
Plaintext

\v 4 Yahwe alizungumza nawe uso kwa uso kwenye mlima toka katikati mwa moto \v 5 (Nilisimama kati ya Yahwe na wewe kwa wakati huo, kukufunulia wewe neno lake, kwa kuwa ulikuwa umeogopa kwa sababu ya moto, na haukwenda juu ya mlima), Yahwe alisema, \v 6 'Mimi ni Yahweh Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa.