sw_deu_text_reg/03/23.txt

1 line
401 B
Plaintext

\v 23 Nilimsihi Yahwe kwa wakati huo, kusema, \v 24 'O Bwana Yahwe, umeanza kumuonyesha mtumwa wako ukuu wako na mkono wako wa hodari; kwa kuwa nani mungu aliyeko huko mbinguni au duniani ambaye anaweza kufanya kazi zilezile kama ulivyofanya, na matendo yaleyale makuu? \v 25 Hebu niende juu, Ninakuomba, na nione nchi nzuri ambayo ng'ambo ya pili ya Yordani, ile nchi nzuri ya mlima, na pia Lebanoni.