sw_deu_text_reg/03/18.txt

1 line
183 B
Plaintext

\v 18 Nilikuamuru wewe kwa wakati huo, kusema, Yahwe Mungu wako amekupa nchi hii kuimiliki, wewe, wanaume wote wa vita, watapita wakiwa na silaha mbele ya ndugu zako, watu wa Israeli.