sw_deu_text_reg/03/17.txt

1 line
194 B
Plaintext

\v 17 Moja ya mipaka mingine pia ni tambarare ya bonde la mto wa Yordani, kutoka Kinnerethi kuelekea bahari ya Arabah(ambayo ni bahari ya Chumvi) kuelekea miteremko wa mlima wa Pisgah mashariki.