sw_deu_text_reg/03/05.txt

1 line
353 B
Plaintext

\v 5 Hii ilikuwa miji iliyoimarishwa na kuta ndevu, malango, na vizuizi, hii ilikuwa licha ya vijiji vingi sana vilivyokuwa havina kuta. \v 6 Tuliviangamiza kabisa, kama tulivyofanya kwa Sihoni mfalme wa Heshbon, kabisa tuliangamiza kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo. \v 7 Lakini ng'ombe wote na mateka ya miji, tilichukua kama mateka wetu.