sw_deu_text_reg/02/32.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 32 Kisha Sihon alikuja dhidi yetu, yeye na watu wote wake, kupigana huko Jahazi. \v 33 Yahwe Mungu wetu alimtoa kwetu na tulimshinda, tulimpiga mpaka kufa, watoto wake, na watu wake wote.