sw_deu_text_reg/02/16.txt

1 line
399 B
Plaintext

\v 16 Basi ilitokea, wakati watu wote waliofaa kwa kupigana walikuwa wamekufa, na kutoweka miongoni mwa watu, \v 17 kwamba Yahwe alizungumza nami, kusema, \v 18 Leo mtavuka Ar, mpaka wa Moabu. \v 19 Wakati mtakapofika karibu na mkabala wa watu wa Ammoni, msiwasumbue au kupigana nao, kwa kuwa sitawapa nchi yoyote ya watu wa Ammoni kama miliki, kwa sababu nimekwisha wapa wazao wa Lutu kama miliki".