sw_deu_text_reg/01/09.txt

1 line
278 B
Plaintext

\v 9 Nilisema nawe kwa wakati huo, nikisema, siwezi nikakubeba peke yangu, \v 10 Yahwe Mungu wako amekuzidisha, na tazama, leo umekuwa umati wa nyota angani. \v 11 Yahwe aweza, Mungu wa baba zako, kukufanya wewe mara elfu moja zaidi ya ulivyo, na kukubariki, kama alivyokuahidi!