diff --git a/01/17.txt b/01/17.txt index e07d4f1..a9b8bce 100644 --- a/01/17.txt +++ b/01/17.txt @@ -1 +1 @@ -\v 17 Hamtaonesha upendeleo kwa yeyote katika mgogoro, mtasikia madogo na makubwa pia. Hamtaogopa uso wa mtu, kwa kuwa hukumu ni ya Mungu. Migogoro iliyo migumu kwenu, mtaniletea mimi, na mimi nitaisikiliza. \v 18 Niliwaamuru kwa wakati huo mambo yote mtakayofanya. \ No newline at end of file +\v 17Hamtaonyesha upendeleo kwa yeyote katika mgogoro, mtasikia madogo na makubwa pia. Hamtaogopa uso wa mtu, kwa kuwa hukumu ni ya Mungu. Migogoro iliyo migumu kwenu, mtaniletea mimi, na mimi nitaisikiliza. \v 18 Niliwaamuru kwa wakati huo mambo yote mtakayofanya. \ No newline at end of file