sw_dan_text_reg/06/21.txt

1 line
270 B
Plaintext

\v 21 Ndipo Danieli akamwambia mfalme, "Mfalme, uishi milele! \v 22 Mungu wangu amemtuma mjumbe na amevifunga vinywa vya simba, na hazijaweza kunidhuru. Kwa kuwa sikuwa na hatia yoyote mbele yake na pia mbele yako, ewe mfalme, na sijakufanyia jambo lolote la kukudhuru."