sw_dan_text_reg/02/03.txt

1 line
267 B
Plaintext

\v 3 Mfalme akawambia, "Nilikuwa na ndoto, na akili yangu ina mashaka nataka kujua ndoto hiyo nini maana yake." \v 4 Kisha watu wenye hekima wakamwambia mfalme katika Kiaramaiki, " Mfalme, aishi milele! Twambie sisi ndoto, watumishi wako, nasi tutaifunua maana yake."