sw_dan_text_reg/03/28.txt

1 line
280 B
Plaintext

\v 28 Nebukadneza alisema, "Na tumsifu Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego, ambaye amemtuma mjumbe wake na amewapa ujumbe watumishi wake. Walimtumaini yeye wakati walipoikana amri yangu, na waliitoa miili yao badala ya kuabudu au kusujudia muungu mwingine isipokuwa Mungu wao.