sw_dan_text_reg/03/08.txt

1 line
338 B
Plaintext

\v 8 Wakati huu baadhi ya Walkadayo walikuja na kuleta mashitaka kinyume na Wayahudi. \v 9 Walimwambia mfalme Nebukadneza, "mfalme aishi milele! \v 10 Ewe mfalme, umeweka amri kwamba kila mtu aisikiaye sauti ya pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari, na aina zote za muziki, lazima kuanguka na kuisujudia sanamu ya dhahabu.