sw_dan_text_reg/01/01.txt

1 line
438 B
Plaintext

\c 1 \v 1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na kuuzunguka mji ili kuzuia mahitaji yake yote. \v 2 Bwana alimpa Nebukadneza ushindi dhidi ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, na alimpatia baadhi ya vitu vitakatifu kutoka nyumba ya Mungu. Alivipeleka vitu hivyo mpaka nchi ya Babeli, katika nyumba ya muungu wake, na aliviweka vitu vitakatifu katika hazina ya mungu wake.