sw_dan_text_reg/12/12.txt

1 line
191 B
Plaintext

\v 12 Ana heri mtu yule anayengojea mpaka mwisho wa siku 1, 335. \v 13 Unapaswa uondoke uende njia yako hata mwisho, na kisha utapumzika. Utainuka katika sehemu uliyopewa, mwishoni mwa siku."