sw_dan_text_reg/05/29.txt

1 line
361 B
Plaintext

\v 29 Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme. \v 30 Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa, \v 31 na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.