sw_dan_text_reg/05/25.txt

1 line
294 B
Plaintext

\v 25 Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.' \v 26 Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.' \v 27 'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.' \v 28 'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'"