|
\v 35 Wenyeji wote wa dunia huzingatiwa na yeye kuwa kama sikitu; hufanya lolote limpendezalo miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakazi wa dunia. Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia au kumpa changamoto. Hakuna hata mmoja awezaye kumwambia, "Mbona umefanya hivi?" |