diff --git a/05/20.txt b/05/20.txt index 587300d..6996d73 100644 --- a/05/20.txt +++ b/05/20.txt @@ -1 +1 @@ -\v 20 Lakini moyo wake ulipokuwa na kiburi na roho yake ilipofanywa kuwa ngumu kiasi cha kutenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake. \v 21 Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake. \ No newline at end of file +\v 20 Lakini moyo wake ulipokuwa na kiburi na roho yake ilipofanywa kuwa ngumu kiasi cha kutenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake. \v 21 Aliondolewa mbali na ubinadamu, akawa na akili za mnyama, na akaishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 2ec3f5a..5cc018a 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -116,6 +116,7 @@ "05-13", "05-15", "05-17", + "05-20", "05-22", "05-25", "05-29",