Fri Jan 20 2023 14:09:30 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
28fdf67704
commit
428f20b407
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 36 Mfalme atafanya kutokana na matakwa yake. Atajiinua mwenyewe na kujifanya mkubwa kuliko kila muungu. Kinyume cha Mungu wa miungu, atasema vitu vibaya, kwa kuwa atafanikiwa mpaka pale ghadhabu itakapokuwa imekamilika. Kwani kile kilichokuwa kimeamriwa kitafanyika. \v 37 Hataijali miungu ya baba zake wala muungu anayependwa na wanawake, hata muungu mwingine yeyote hatamjali, kwa kuwa zaidi ya mtu yeyote atajifanya mwenyewe kuwa mkuu.
|
||||
\v 36 Mfalme atafanya kutokana na matakwa yake. Atajiinua mwenyewe na kujifanya mkubwa kuliko kila muungu. Kinyume cha Mungu wa miungu, atasema vitu vibaya, kwa kuwa atafanikiwa mpaka pale ghadhabu itakapokuwa imekamilika. Kwani kile kilichokuwa kimeamriwa kitafanyika. \v 37 Hataijali miungu ya baba zake wala muungu anayependwa na wanawake, hata muungu mwingine yeyote hatamjali, lakini atajitukuza mwenyewe juu ya miungu yote.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 38 Atamheshimu mungu wa ngome badala ya haya. Ni mungu ambaye baba zake hawakumkubali ambaye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa mawe ya thamani na zawadi zenye kuthaminiwa. \v 39 Atazishambulia ngome imara sana kwa msaada wa mungu mgeni. Atampa heshima kubwa yeyote anayemkubali. Atawafanya kuwa watawala juu ya watu wengi, na ataigawanya nchi kama thawabu.
|
||||
\v 38 Atamheshimu mungu wa ngome badala ya hii. Ni mungu ambaye baba zake hawakumkubali ambaye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa mawe ya thamani na zawadi zenye kuthaminiwa. \v 39 Atazishambulia ngome imara sana kwa msaada wa mungu mgeni. Atampa heshima kubwa yeyote anayemkubali. Atawafanya kuwa watawala juu ya watu wengi, na ataigawanya nchi kama thawabu.
|
|
@ -210,6 +210,7 @@
|
|||
"11-28",
|
||||
"11-29",
|
||||
"11-31",
|
||||
"11-33"
|
||||
"11-33",
|
||||
"11-36"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue