sw_dan_text_reg/03/11.txt

1 line
333 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 11 Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto. \v 12 Sasa kuna baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu masuala ya jimbo la Babeli; majina yao ni Shadraka, Meshaki, na Abednego. Mfalme, hawa watu hawakutii wewe. Hawataiabudu, kuitumikia wala kuisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka."